Bwana Ni Mchungaji Wangu
- Reuben Kigame
Key: auto auto ·
Orig: auto ·
Capo:
·
Time: 4/4 ·
check_box_outline_blankSimplify
chord-pro
www.khmerchords.com/chords/9041691
There was a formatting error in your song. Please check for missing brackets or invalid structure.
Verse 1
C G Am
Bwana ni mchungaji wangu,
F C G Am G
Sitapungukiwa kitu
C G Am F
Hun’laza penye majani mabichi,
C G C
Huniongoza kwa maji matulivu
Chorus
G F C F C G
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
C G Am F
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
C G C
Siku zote za maisha yangu
Verse 2
C G Am
Hunihuisha nafsi yangu,
F C G Am G
Hun’ongoza kwa njia za haki
C G Am F
Nipitapo bondeni mwa mauti,
C G C
Sitaogopa wewe u nami
Verse 3
D A Bm
Gongo lako na fimbo yako,
G D A Bm A
Vitanifariji mimi
D A Bm G
Waandaa meza mbele yangu,
D A D
Machoni pa watesi wangu
Chorus
A G D G D A
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
D A Bm G
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
D A D
Siku zote za maisha yangu











